Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 16:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Lakini Abramu akamwambia Sarai: “Mujakazi wako yuko chini ya mamlaka yako. Umutendee jinsi unavyopenda.” Basi, Sarai akamutesa Hagari mpaka akatoroka.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 16:6
15 Referans Kwoze  

Mufalme Zedekia akasema: Basi! Mutu huyu yuko katika mikono yenu; mimi siwezi kuwapinga.


Vilevile, ninyi waume, mukae na wake wenu mukifahamu kwamba wao ni kiumbe kizaifu. Munapaswa vilevile kuwapa heshima kwa sababu watapokea pamoja nanyi zawadi ya uzima. Mufanye hivi kusudi maombi yenu yasizuizwe.


Mutawala akikukasirikia, usiache kazi; makosa makubwa yanaweza kufutwa ukiwa munyenyekevu.


Mutumwa haonyeki kwa maneno matupu; maana ingawa anayaelewa, yeye hatayatii.


Mutu aliyepotea mbali na kwake ni kama ndege aliyepotea mbali na chicha yake.


Kujibu kwa upole kunatuliza hasira, lakini neno kali linachochea hasira.


Mutu asiyekuwa mwepesi wa hasira ana akili nyingi, lakini anayekasirika upesi anaongeza upumbafu.


Yawe akamwambia Shetani: “Basi, unaweza kumufanya vile unavyotaka, lakini usimwue tu.”


Naye mufalme wa Misri aliposikia juu ya tukio hilo akakusudia kumwua Musa. Lakini Musa akamukimbia mufalme, akaenda kukaa katika inchi ya Midiani. Siku moja, Musa alikuwa akikaa kando ya kisima cha maji.


Kisha, yule mutumishi akatwaa ngamia kumi wa bwana wake akaondoka akiwa na zawadi nzuri za kila aina. Akasafiri kwenda katika muji Nahori alimokaa, katika inchi ya Mesopotamia.


Yule malaika wa Yawe akamwambia: “Rudi kwa bibi mukubwa wako Sarai na umutii.”


Sasa sisi tuko katika mikono yako, ututendee kama unavyoona vema na haki.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite