Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 16:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Abramu alikuwa na umri wa miaka makumi nane na sita wakati Hagari alipozaa Isimaeli.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 16:16
7 Referans Kwoze  

Kwa hiyo, Abramu akaondoka kama vile Yawe alivyomwamuru, na Loti akakwenda pamoja naye. Abramu alikuwa na umri wa miaka makumi saba na mitano alipotoka Harani.


Kisha, Sarai akamupa Abramu Hagari, mujakazi wake Mumisri, akuwe muke wake. Haya yalitokea nyuma ya Abramu kukaa katika inchi ya Kanana kwa muda wa miaka kumi.


Hagari akamuzalia Abramu mutoto mwanaume. Abramu akamwita mutoto huyo Isimaeli.


Na Isimaeli mwana wake alikuwa na umri wa miaka kumi na mitatu alipotahiriwa.


Isimaeli alikuwa na umri wa miaka mia moja makumi tatu na saba alipokufa na kukutana na wazee wake.


Wakati Abramu alipokuwa na umri wa miaka makumi tisa na tisa, Yawe akamutokea, akamwambia: “Mimi ni Mungu Mwenye Uwezo. Uendelee mbele yangu na kuwa mukamilifu.


Abrahamu alikuwa na umri wa miaka mia moja wakati mwana wake Isaka alipozaliwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite