Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 16:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Basi, Sarai, muke wa Abramu, alikuwa bado hajamuzalia mutoto, naye alikuwa na mujakazi aliyeitwa Hagari, kutoka Misri.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 16:1
13 Referans Kwoze  

Maneno haya ni kama vile mufano: wake hawa wawili ni mufano wa maagano mawili. Yule Hagari, watoto wake waliozaliwa katika hali ya utumwa, ni mufano wa agano lililofanyika kwenye mulima Sinai.


Naye akamutendea Abramu mema kwa ajili ya Sarai. Akamupa kondoo, ngombe, punda dume, watumishi na wajakazi, punda dike na ngamia.


Hata Elizabeti wa jamaa yako, amepata mimba, naye atazaa mutoto mwanaume, ijapokuwa yeye ni muzee. Yeye aliyekuwa akiitwa tasa, sasa huu ni mwezi wa sita wa mimba yake.


Lakini hawakukuwa na mutoto, kwa maana Elizabeti alikuwa tasa, tena wote wawili walikuwa wazee sana.


Kulikuwa mutu mumoja kule Zora, wa kabila la Dani, jina lake Manoa. Muke wake alikuwa tasa.


Rebeka alikuwa tasa, kwa hiyo Isaka akamwomba Yawe. Naye Yawe akakubali ombi lake, Rebeka akapata mimba.


Alikuwa akikaa katika jangwa za Parani, na mama yake akamwoea muke kutoka inchi ya Misri.


Lakini Mungu akamwambia Abrahamu: “Usihuzunike kwa sababu ya mutoto huyu, wala huyo mujakazi wako. Jambo lolote Sara atakalokuambia ulifanye. Maana ni kwa njia ya Isaka utapata wazao watakaoitwa wako.


Sarai hakukuwa na mutoto kwa sababu alikuwa tasa.


Waamori, Wakanana, Wagirgasi na Wayebusi.”


Elekana alimupa Hana fungu kubwa la nyama ya sadaka kwa sababu alimupenda sana ingawa Yawe hakumujalia watoto.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite