Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 15:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Angalia, haujanijalia mutoto. Mutumwa aliyezaliwa ndani ya nyumba yangu ndiye atakayekuwa murizi wangu!”

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 15:3
10 Referans Kwoze  

Abramu alipopata habari kwamba mwipwa wake amekamatwa kuwa mufungwa, akatoka na watu wake mashujaa mia tatu na kumi na wanane waliozaliwa katika nyumba yake, akawafuatilia waadui mpaka Dani.


Anayebembeleza mutumwa wake tangu utoto, kwa mwisho mutumwa yule atamurizi.


Nilinunua watumwa, wajakazi, na wengine wakazaliwa katika nyumba yangu. Nilikuwa na mali mengi, makundi ya ngombe na kondoo wengi kuliko mutu yeyote aliyenitangulia kukaa Yerusalema.


Ee Yawe, wewe ni mwenye haki, ingawa nitakushitaki. Lakini ningependa nibishane nawe juu ya mambo ya haki: Kwa nini waovu wanafanikiwa katika mambo yao? Mbona wote wanaodanganya wanastawi?


mwanamuke asiyependwa anayeolewa; na mujakazi anapotwaa nafasi ya bibi yake.


Tumaini la kungojangoja linaumiza moyo, lakini tazamio linalotimia ni musingi wa uzima.


Wazao wako nitawafanya wakuwe wengi wasihesabike, kama vile mavumbi ya inchi. Kama vile vumbi isivyoweza kuhesabika, ndivyo wazao wako hawataweza kuhesabika!


Nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, nitakubariki na kutukuza jina lako, nawe utakuwa baraka.


Lakini Abramu akasema: “Ee Yawe, utanipa nini wakati ninaendelea kuishi bila mutoto, na murizi wangu ni Eliezeri wa Damasiki?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite