Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 15:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Na tai waliposhuka juu ya mizoga hiyo, Abramu akakuwa anawafukuza.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 15:11
6 Referans Kwoze  

Alipokuwa akipanda mbegu katika shamba lake, zimoja zikaanguka pembeni ya njia, nao ndege wakakuja na kuzikula.


Nitarudiliarudilia kwa sauti maamuzi yako yote uliyotoa.


Lakini kulikuwa tai mwingine mukubwa; alikuwa na mabawa makubwa ya manyoya mengi. Basi, ule muzabibu ulikunja mizizi yake, ukamwelekezea matawi yake, kusudi aumwangilie maji.


Uwaambie kwamba Bwana wetu Yawe anasema hivi: Kulikuwa tai mumoja mukubwa sana aliyekuwa na mabawa makubwa, yenye manyoya marefu mengi yenye rangi za kila aina. Tai yule aliruka mpaka kwenye mulima Lebanoni, akatua juu ya kilele cha muti wa mwerezi;


Abramu akamuletea hao wote, akakata kila nyama vipande viwili, akavipanga katika mistari miwili, vikielekeana. Lakini ndege hakuwakata vipande viwili.


Jua lilipokuwa likitua, Abramu akashikwa na usingizi muzito. Hofu na giza nene vikamufunika.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite