Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 14:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Kwa muda wa miaka kumi na miwili walikuwa wakimutii mufalme Kedorilaomeri, lakini katika mwaka wa kumi na tatu, wakamwasi.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 14:4
5 Referans Kwoze  

Lakini yule mufalme mupya alimwasi mufalme wa Babeli kwa kuwatuma wajumbe Misri kuomba farasi na waaskari wengi. Mufalme huyo atashinda? Anayefanya hivyo na kuvunja agano lake ataweza kuepuka azabu?


Kwa wakati ule, mufalme Amurafeli wa Sinari, mufalme Arioki wa Elasari, mufalme Kedorilaomeri wa Elamu na mufalme Tidali wa Goimu,


Wafalme wale watano waliyaunganisha majeshi yao katika bonde la Sidimu, ni kusema bahari ya Chumvi.


Katika mwaka wa kumi na ine, mufalme Kedorilaomeri na wale wafalme wenzake wakakuja na kuwashinda watu wa Refaimu kule Astaroti-Karnaimu, Wazuzi kule Hamu, Waemi kule Sawe-Kiriataimu,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite