Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 13:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 pahali ambapo alikuwa amejenga mazabahu. Pale Abramu akamwomba Yawe kwa jina lake.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 13:4
21 Referans Kwoze  

Kwa hiyo mutakapokuja kunililia na kuniomba, nitawasikiliza.


Halafu mutaomba, nami Yawe nitawaitikia; mutalia kwa sauti kwa kuomba musaada, nami nitajibu hivi: Niko hapa! Kama mukiondoa mambo ya kitumwa, mukiacha kuzarau wengine na kusema maovu,


Wakati huo nitabadilisha luga ya watu, nitawawezesha kusema luga safi kusudi waniite mimi Yawe, na kuniabudu kwa moyo mumoja.


Yeye amenitegea sikio, hivyo nitamwomba muda wote wa maisha yangu.


Tunawaandikia ninyi kanisa la Mungu linalokuwa Korinto, ninyi ambao mumetakaswa kwa njia ya kuungana kwenu na Yesu Kristo na mumeitwa na Mungu kuwa watu wake. Vilevile barua hii ni kwa wote wanaoabudu jina la Bwana Yesu Kristo fasi zote, anayekuwa Bwana wao na Bwana wetu vilevile.


Yawe yuko karibu na wote wanaomwomba, wote wale wanaomwomba kwa uaminifu.


Nitakutolea sadaka za shukrani. Nitaomba kwa jina la Yawe.


Mumushukuru Yawe kwa wema wake na maajabu yake kwa wanadamu.


Mumushukuru Yawe kwa sababu ni muzuri! Wema wake unadumu milele!


Ee Mungu, umwangalie huyo ngao yetu, upendezwe na huyo uliyemuchagua.


Mumushukuru Yawe kwa wema wake na maajabu yake kwa wanadamu.


Ee Yawe, ninapenda makao yako, pahali utukufu wako unapokaa.


Kwa hiyo, Abramu akaongoa hema, akakwenda kukaa karibu na mielo ya Mamure kule Hebroni. Kule akajengea Yawe mazabahu.


Seti naye akapata mutoto mwanaume, akamwita Enosi. Hapo ndipo watu walipoanza kumwomba Yawe kwa jina lake.


Kwa hiyo, Isaka akajenga mazabahu kule na kumwabudu Yawe. Akapiga kambi kule, na watumishi wake wakachimba kisima.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite