Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 13:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Abramu akabaki katika inchi ya Kanana na Loti akakaa kati ya miji iliyokuwa katika bonde, akahamishia kambi yake Sodoma.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 13:12
10 Referans Kwoze  

Mungu alipoangamiza miji katika bonde ambamo Loti alikuwa anakaa, alimukumbuka Abrahamu kwa kumutosha Loti katika miji hiyo, kusudi Loti asiangamizwe pamoja nayo.


Wale wamalaika wawili wakafika katika muji wa Sodoma magaribi. Loti alikuwa ameketi kwenye mulango wa muji wa Sodoma. Alipowaona, akasimama kwenda kuwapokea, akainama kwa heshima.


Wakamukamata hata Loti mwana wa ndugu ya Abramu aliyekuwa anakaa Sodoma, pamoja na mali yake, wakajiendea.


Musidanganyike: “Warafiki wabaya wanaharibu tabia nzuri za watu.”


Ninachukia mikutano ya wabaya; wala sitakusanyika na waovu.


akaiangamiza miji hiyo, bonde lote, wakaaji wake wote na mimea yote katika inchi hiyo.


Kwa hiyo, Loti akajichagulia bonde lote la muto Yordani, akaelekea upande wa mashariki, na hivyo wakatengana.


wakapigana vita na Bera mufalme wa Sodoma, na Birsa mufalme wa Gomora, Sinabu mufalme wa Adima, Semeberi mufalme wa Seboimu, na mufalme wa Bela ni kusema Soari.


Halafu Yawe akateremusha moto mukali wa kiberiti kutoka mbinguni juu ya Sodoma na Gomora,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite