Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 12:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Kisha Abramu akaendelea kusafiri kuelekea upande wa Negebu.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 12:9
10 Referans Kwoze  

Akaendelea kusafiri toka eneo la Negebu mpaka Beteli. Alifika pahali alipokuwa amepiga kambi ya hema mara ya kwanza kati ya Beteli na Ai,


Wakati ule, Isaka alikuwa ameondoka Beri-Lahai-Roi, akakaa pande za Negebu.


Abramu akarudi kutoka Misri, akaingia upande wa Negebu. Alikuwa na muke wake na mali yake yote pamoja na Loti.


Walitangatanga kutoka taifa mpaka taifa, kutoka inchi moja mpaka inchi ingine.


Abrahamu alisafiri toka kule na kuelekea eneo la Negebu, akafanya makao yake kati ya Kadesi na Suri, kisha akakwenda kukaa kwa muda kule Gerari.


Alipowatuma kwenda kupeleleza inchi ya Kanana, Musa akawaambia: Muende kule ngambo Negebu, mpaka kwenye inchi ya milima,


Sasa muvunje kambi yenu muendelee na safari. Muende kwenye inchi ya milima ya Waamori na maeneo ya inchi jirani katika Araba, kwenye milima na mabonde, huko Negebu na sehemu za pembeni ya bahari. Muende mpaka inchi ya Kanana, na inchi ya Lebanoni, mpaka kwenye ule muto mukubwa Furati.


Ujumbe wa Mungu juu ya nyama wa pande za jangwa ya kusini: Wajumbe wanapita katika inchi ya taabu na shida, yenye simba, nyoka wa sumu na nyoka wakubwa wanaoruka. Wamewabebesha punda na ngamia wao mali zao, kuwapelekea watu wasioweza kuwafalia kitu.


Wakati Mungu aliponifanya niache nyumba ya baba yangu na kwenda kutangatanga, nilimwambia muke wangu: ‘Popote tutakapokwenda, tafazali useme kwamba mimi ni kaka yako!’ ”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite