Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 12:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Alitwaa Sarai muke wake, na Loti mwana wa ndugu yake, pamoja na mali yao yote na watu wote waliokuwa wamejipatia kule Harani, wakaondoka kuelekea inchi ya Kanana. Walipoingia katika inchi ya Kanana,

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 12:5
13 Referans Kwoze  

Abramu alipopata habari kwamba mwipwa wake amekamatwa kuwa mufungwa, akatoka na watu wake mashujaa mia tatu na kumi na wanane waliozaliwa katika nyumba yake, akawafuatilia waadui mpaka Dani.


Tera akatwaa Abramu mwana wake, Loti mujukuu wake aliyekuwa mwana wa Harani, na Sarai muke wa Abramu, wakaondoka wote pamoja toka Uri, muji wa Wakaldea, na kwenda katika inchi ya Kanana. Lakini walipofika Harani, wakakaa pale.


Basi Abrahamu akatoka katika inchi ya Wababeli akaenda kukaa Harani. Kisha kufa kwa baba yake, Mungu akamuhamisha tena, akakuja kukaa katika inchi hii munayoishi ndani yake sasa.


Mufalme wa Sodoma akamwambia Abramu: “Unipe wale watu, lakini ujitwalie mali yote wewe mwenyewe.”


hata eneo la inchi yao likakuwa toka Sidona kuelekea upande wa kusini, kuendelea Gerari mpaka Gaza, na kuelekea upande wa mashariki liliendelea kwa Sodoma na Gomora, Adima na Seboimu mpaka Lasa.


Na Loti, ambaye alikwenda pamoja na Abramu, alikuwa na kondoo, na makundi mengi ya nyama na hema.


Hesabu ya nyama wao ilikuwa kubwa sana hata inchi ile haikuweza kutosha kwa Abramu na Loti kuishi pamoja.


Yakobo aliondoka Beri-Seba, akaelekea Harani.


Kisha, Esau akawatwaa wake zake, watoto wake wanaume na wanawake, watu wote wa nyumba yake, ngombe wake, nyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata katika inchi ya Kanana, akahamia pahali pengine, mbali na ndugu yake Yakobo.


Lakini kama kuhani amenunua mutumwa kwa kuwa mali yake, basi, yule mutumwa anaruhusiwa kula na vilevile wale waliozaliwa katika nyumba yake.


Hawa ndio wazao wa Tera, baba ya Abramu, Nahori na Harani. Harani alikuwa baba ya Loti.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite