Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 11:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Basi, wakati watu waliposafirisafiri toka mashariki, wakafika katika inchi ya mabonde kule Sinari, wakakaa.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 11:2
8 Referans Kwoze  

Miji ya kwanza ya utawala wake ilikuwa Babeli, Ereki, na Akadi katika inchi ya Sinari.


Bwana akamwacha Yoyakimu atiwe katika mikono ya mufalme Nebukadneza pamoja na sehemu ya vyombo vya nyumba ya Mungu. Basi mufalme Nebukadneza akakamata wafungwa na vyombo akavipeleka katika inchi ya Babeli, akaviweka katika hazina ya nyumba ya miungu yake.


Kwa wakati ule, mufalme Amurafeli wa Sinari, mufalme Arioki wa Elasari, mufalme Kedorilaomeri wa Elamu na mufalme Tidali wa Goimu,


Naye akaniambia: Wanakipeleka katika inchi ya Sinari. Kule watakijengea hekalu na litakapokuwa tayari, watakiweka kikapu hicho ndani.


Siku hiyo, Bwana ataunyoosha mukono wake tena kuwarudisha watu wake waliobaki kule Asuria, Misri, Patirosi, Etiopia, Elamu, Sinari, Hamati na sehemu za visanga vya bahari.


Kwa hiyo, Loti akajichagulia bonde lote la muto Yordani, akaelekea upande wa mashariki, na hivyo wakatengana.


Muji ule ukaitwa Babeli, kwa sababu kule ndiko Yawe alikovuruga luga ya dunia yote, na tokea kule akawatawanya watu kila pahali katika dunia.


Watu wote katika dunia walikuwa na luga moja, walitumia maneno mamoja.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite