16 Eberi alipokuwa na umri wa miaka makumi tatu na mine, akazaa Pelegi.
Eberi alikuwa na wana wawili: mumoja wao aliitwa Pelegi, ni kusema “Matengano”, kwa maana wakati wake watu walikuwa wametawanyika katika dunia, na ndugu yake aliitwa Yokitani.
Mashua zitafika kutoka Kitimu, wataishambulia Asuria na Eberi, lakini nao vilevile wataangamia milele.
Eberi alikuwa na wana wawili: wa kwanza akamwita Pelegi kwa sababu wakati ule watu katika dunia waligawanyika na wa pili akamwita Yokitani.
Semu, mukubwa wa Yafeti, alikuwa baba ya Waebrania wote.
Kisha kuzaa Eberi, Sela aliishi miaka mia ine na mitatu, na kupata wana wengine na wabinti.
Kisha kuzaa Pelegi, Eberi aliishi miaka mia ine na makumi tatu, na kupata wana wengine na wabinti.