Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 10:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Kushi alikuwa baba ya Nimurodi ambaye alikuwa shujaa wa kwanza katika dunia.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 10:8
6 Referans Kwoze  

Wazao wa Yakobo watakaobaki wazima wataenea kati ya mataifa mengi, watakuwa kama umande unaotoka kwa Yawe, kama manyunyu yanayoanguka kwenye majani ambayo hayasababishwi na mutu wala kumutegemea mwanadamu.


Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabuta, Rama na Sabuteka. Wana wa Rama walikuwa Seba na Dedani.


Alikuwa mwindaji shujaa mbele ya Yawe, ndiyo maana kuna musemo unaosema: “Kama vile Nimurodi mwindaji shujaa mbele ya Yawe.”


Inatuma wajumbe ambao wanasafiri ndani ya muto Nili, wamepanda ndani ya mitumbwi iliyotengenezwa na matete. Muende, enyi wajumbe wepesi, kwa taifa kubwa na hodari, la watu warefu wenye ngozi laini, wanaotisha kwa karibu na kwa mbali, taifa la watu wenye nguvu na ushindi, ambalo inchi yake imegawanywa na mito.


Jina la muto wa pili ni Gihoni. Ule unazunguka inchi yote ya Kushi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite