Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 10:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misiraimu, Puti na Kanana.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 10:6
15 Referans Kwoze  

Watu kutoka Persia, Ludi na Puti walijiunga katika kundi lako la waaskari; walilundika ngao zao na kofia zao kwenye kambi zao za kiaskari. Waaskari hao walikupatia utukufu.


Musonge mbele, enyi farasi; mushambulie, enyi magari ya vita. Mashujaa wasonge mbele: watu wa Etiopia na Puti wanaoshika ngao, watu wa Ludi, wafundi wa kutumia pinde.


Siku hiyo, Bwana ataunyoosha mukono wake tena kuwarudisha watu wake waliobaki kule Asuria, Misri, Patirosi, Etiopia, Elamu, Sinari, Hamati na sehemu za visanga vya bahari.


maajabu katika inchi hiyo ya Hamu, na mambo ya kutisha katika bahari Nyekundu.


Wakafanya maajabu ya Mungu kati ya Wamisri, na miujiza katika inchi hiyo ya Hamu.


Halafu Israeli akaingia katika inchi ya Misri; Yakobo akakuwa mugeni katika inchi ya Hamu.


Aliwaua wazaliwa wa kwanza wote wa Wamisri; ndilo chipukizi la kwanza katika kambi la Hamu.


Kule, walipata malisho tele, tena mazuri sana na tena inchi ilikuwa wazi, tulivu na yenye amani, maana wenyeji wa inchi hiyo wa zamani walikuwa wazao wa Hamu.


Hamu, baba ya Kanana, akaona uchi wa baba yake, akatoka inje na kuwaambia wandugu zake wawili.


Wana wa Noa waliotoka katika chombo walikuwa Semu, Hamu na Yafeti. Hamu alikuwa baba ya Kanana.


Kutokana na hawa visanga vya watu wa mataifa mengine vikagawanywa kwa inchi zao, kila watu kwa luga yao, kwa jamaa zao, kufuatana na mataifa yao.


Kati yao kuna waaskari kutoka Persia, Etiopia na Puti; wote wana ngao na kofia za chuma.


Jina la muto wa pili ni Gihoni. Ule unazunguka inchi yote ya Kushi.


Kisha Noa kutimiza umri wa miaka mia tano, akazaa Semu na Hamu na Yafeti.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite