Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 10:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 na vilevile babu ya Wayebusi, Waamori, Wagirgasi,

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 10:16
9 Referans Kwoze  

Nitawakomesha kula nyama yenye damu, na chakula ambacho ni chukizo. Watakaobaki watakuwa mali yangu, kama ukoo mumoja katika Yuda. Watu wa Ekroni watakuwa kama Wayebusi.


Siku hiyo hiyo Gadi akamwendea Daudi, akamwambia: “Panda juu, umujengee Yawe mazabahu, katika kiwanja cha kupepetea ngano cha Arauna wa muji wa Yebusi.”


Lakini watu wa kabila la Benjamina hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa katika Yerusalema; ndiyo maana Wayebusi wanakaa pamoja na watu wa kabila la Benjamina katika Yerusalema mpaka leo.


Wahivi, Waarki, Wasini,


ni kusema inchi za Wakeni, Wakenizi, Wakadimoni,


Waamori, Wakanana, Wagirgasi na Wayebusi.”


“Yawe, Mungu wenu atawafikisha kwenye inchi ambayo mutakwenda kufanya makao yenu na atafukuza mataifa mengi kutoka inchi hiyo. Mutakapoingia, atafukuza mbele yenu mataifa saba makubwa na yenye nguvu kuliko ninyi: Wahiti, Wagirgasi, Waamori, Wakanana, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.


Kanana vilevile ndiye babu ya Wayebusi, Waamori, Wagirgasi,


Wazao wako watarudi hapa katika kizazi cha ine, kwa sababu uovu wa Waamori haujakamilika bado.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite