Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 10:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Kutoka kule, Nimurodi alikwenda Asuria, akajenga miji ya Ninawe, Rehoboti-Iri, Kala na

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 10:11
17 Referans Kwoze  

Wazao wa Yakobo watakaobaki wazima wataenea kati ya mataifa mengi, watakuwa kama umande unaotoka kwa Yawe, kama manyunyu yanayoanguka kwenye majani ambayo hayasababishwi na mutu wala kumutegemea mwanadamu.


Ujumbe wa Mungu juu ya Ninawe. Kitabu cha maono ya Nahumu wa Elkosi.


Simama, uende Ninawe, ule muji mukubwa, uukaripie. Maana uovu wake umenifikia.


Wagebali, Waamoni na Waamaleki, Wafilistini na wakaaji wa Tiro.


Yawe atanyoosha mukono wake kwa kuazibu inchi ya upande wa kaskazini, na kuiangamiza inchi ya Asuria. Ataufanya muji wa Ninawe kuwa ukiwa, kuwa pahali penye kukauka kama jangwa.


Kisha wote watakaokuona watakukimbia wakisema: Ninawe umeangamizwa, ni nani atakayekuomboleza? Nani atakayekufariji?


Muji uko wazi kabisa, watu wamekamatwa mateka. Wanawake wake wanaomboleza, wanalia kama njiwa, na kujipigapiga kwenye vifua.


Muombe huruma kwake, mumurudilie na kumwambia: Utusamehe uovu wote, upokee zawadi zetu, nasi tutakusifu kwa moyo.


Asuria iko huko. Makaburi ya waaskari wake yanaizunguka. Wote waliuawa katika vita.


Wakaaji wa miji ya Harani, Kane na Edeni na wachuuzi wa Asuria na Kilmadi walifanya biashara nawe.


Kisha Saniharibu mufalme wa Asuria akaondoka, akaenda kwake, akakaa Ninawe.


wakamwendea Zerubabeli na viongozi wa ukoo, na kumwambia: “Tafazali tushirikiane katika ujenzi wa hekalu. Sisi kama vile ninyi tunamwabudu Mungu wenu, na tumekuwa tukimutolea sadaka tangu zamani za Esari-Hadoni, mufalme wa Asuria aliyetuleta hapa.”


Kisha Saniharibu mufalme wa Asuria akaondoka, akaenda kwake, akakaa Ninawe.


Mashua zitafika kutoka Kitimu, wataishambulia Asuria na Eberi, lakini nao vilevile wataangamia milele.


Lakini mutateketezwa, enyi Wakeni. Mutapelekwa mateka na Asuria mpaka wakati gani?


Reseni unaokuwa kati ya Ninawe na muji mukubwa wa Kala.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite