Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 1:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Mungu akaliita anga “Mbingu”. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya pili.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 1:8
11 Referans Kwoze  

Mwangaza akauita “Muchana” na giza akaliita “Usiku”. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya kwanza.


Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya ine.


Mungu akaona kwamba kila kitu alichofanya ni kizuri kabisa. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya sita.


Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya tano.


Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya tatu.


Mungu akapaita pahali pakavu “Inchi” na kusanyiko la maji akaliita “Bahari”. Mungu akaona kwamba ni vizuri.


Aliwaumba mwanaume na mwanamuke, kisha akawabariki na kuwapa jina “Wanadamu” siku ileile alipowaumba.


Ikakuwa hivyo. Mungu akafanya anga, akatenga maji yanayokuwa juu ya anga na yale yanayokuwa chini ya anga lile.


Mungu akasema: “Maji yanayokuwa chini ya mbingu yakusanyike pahali pamoja, inchi kavu itokee.” Ikakuwa hivyo.


Aliumba mbingu kwa hekima. Wema wake unadumu milele.


Ujumbe wa Yawe unaoelekea Israeli. Yawe aliyezitandaza mbingu, aliyeiweka misingi ya dunia na kumupa mwanadamu uzima anasema hivi:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite