7 Ikakuwa hivyo. Mungu akafanya anga, akatenga maji yanayokuwa juu ya anga na yale yanayokuwa chini ya anga lile.
Mumusifu enyi mbingu za juu, na maji yanayokuwa juu ya mbingu.
Nao wakashangaa, wakisema: “Huyu ni mutu gani, hata zoruba na ziwa vinamutii?”
Mungu akasema: “Maji yanayokuwa chini ya mbingu yakusanyike pahali pamoja, inchi kavu itokee.” Ikakuwa hivyo.
Anayafunga maji katika mawingu yakuwe mazito, nayo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
na iangae katika anga na kuangazia dunia.” Ikakuwa hivyo.
Mawingu yakijaa maji, mvua inanyesha. Muti ukiangukia upande wa kusini au wa kaskazini, pale unapoangukia ndipo unapolala.
Mungu akasema: “Inchi itoe aina zote za viumbe vyenye uzima: nyama wa kufugwa, viumbe vinavyotambaa na nyama wa pori wa kila aina.” Ikakuwa hivyo.
Kisha Mungu akasema: “Inchi ioteshe mimea: mimea inayozaa mbegu, na miti inayozaa matunda yenye mbegu za aina yake.” Ikakuwa hivyo.
Umetokeza chemichemi katika mabonde, na vijito vyao vinapita kati ya vilima.
Mungu akaliita anga “Mbingu”. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya pili.
Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi.
Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu; anga linaeleza kazi ya mikono yake.
Aliumba mbingu kwa hekima. Wema wake unadumu milele.