5 Mwangaza akauita “Muchana” na giza akaliita “Usiku”. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya kwanza.
Muchana ni wako na usiku ni wako; umeweka mwezi na jua kwenye nafasi zao.
Mimi ninafanya mwangaza na kuumba giza; ninaleta uheri na kusababisha hasara. Mimi Yawe ninatenda vitu hivi vyote.
Kwa maana ninyi wote ni watu wanaoishi katika mwangaza, ndio watu wa muchana. Sisi si watu wa usiku wala wa giza.
Unaleta giza, nao usiku unaingia; nao wanyama wote wa pori wanatoka:
Kwa kadiri inchi itakavyodumu, wakati wa kupanda na kuvuna, wa baridi na joto, wa mvua na kipwa, usiku na muchana, havitakosa kuwa.”
Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu; anga linaeleza kazi ya mikono yake.
Yawe anasema hivi: Kama munaweza kuvunja agano langu nililofanya na usiku na muchana kwa jinsi usiku na muchana visikuwe kwa wakati wake,
Lakini matendo yale yote yanapofunuliwa katika mwangaza, yanaonekana wazi.
Lakini hali ya kazi ya kila mutu itaonekana wazi, kwa sababu Siku ile ya hukumu itaionyesha waziwazi. Kwa maana Siku ile itajitokeza katikati ya moto, na moto ule ndio utakaopima na kuonyesha hali ya kazi ya kila mutu.
Mungu akaliita anga “Mbingu”. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya pili.
Mungu akaona kwamba kila kitu alichofanya ni kizuri kabisa. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya sita.
Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya tano.
Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya ine.
Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya tatu.
Waisraeli walipoona kwamba Haruni amekufa, wakafanya kilio cha siku makumi tatu.
Unatuliza uvumi wa bahari na wa mawimbi yake, unakomesha fujo za watu.