Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 1:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Mungu akaona kwamba mwangaza ule ni muzuri. Kisha Mungu akatenganisha mwangaza na giza.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 1:4
10 Referans Kwoze  

Mwangaza ni muzuri, na kuona jua kunapendeza macho.


Basi, mimi nikagundua kwamba hekima ni bora kuliko upumbafu, kama vile mwangaza unavyokuwa bora kuliko giza.


ipate kutawala muchana na usiku, na kutenga mwangaza na giza. Mungu akaona kwamba ni vizuri.


Inchi ikaotesha mimea inayozaa mbegu za aina yake, na miti inayozaa matunda yenye mbegu za aina yake. Mungu akaona kwamba ni vizuri.


Mungu akaona kwamba kila kitu alichofanya ni kizuri kabisa. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya sita.


Mungu akapaita pahali pakavu “Inchi” na kusanyiko la maji akaliita “Bahari”. Mungu akaona kwamba ni vizuri.


Mungu akafanya aina zote za nyama wa pori, nyama wa kufugwa, na viumbe vinavyotambaa. Mungu akaona kwamba ni vizuri.


Yawe ni muzuri kwa wote, ni mwenye huruma kwa viumbe vyake vyote.


Viumbe vyako vyote vitakushukuru, ee Yawe, nao waaminifu wako watakutukuza.


Mimi ninafanya mwangaza na kuumba giza; ninaleta uheri na kusababisha hasara. Mimi Yawe ninatenda vitu hivi vyote.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite