Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 1:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Nao nyama wote katika dunia, ndege wote wa anga, viumbe vyote vinavyotambaa, kila kiumbe chenye uzima, chakula chao kitakuwa majani yote ya mimea.” Ikakuwa hivyo.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 1:30
11 Referans Kwoze  

Unaotesha majani kwa ajili ya mifugo, na mimea kwa matumizi ya mwanadamu kusudi naye apate chakula chake toka udongo:


Anawapa nyama chakula chao, na kulisha vitoto vya kibombobombo vinapomulilia.


Milima ambamo nyama wote wa pori wanamochezea inatoa chakula chake.


Uangalie yule nyama mukubwa kiboko. Nilimwumba kama nilivyokuumba wewe. Yeye anakula majani kama ngombe,


Nyama wote wenye uzima watakuwa chakula chenu; ninawapa nyama hao kama vile nilivyowapa mimea kuwa chakula chenu.


Vitoto vyake vinafyonza damu; pale muzoga unapokuwa ndipo tai anapokuwa.


Wanatembeatembea katika milima kwa kupata malisho, na kutafuta kitu chochote kinachokuwa kibichi.


Vitoto vyao vinapata nguvu, vinakomaa kulekule katika pori, kisha vinawaacha wamama zao na kwenda zao.


Utwae vilevile aina zote za vyakula vinavyokuliwa, uvilinde kwa ajili ya chakula chenu na viumbe hivyo.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite