Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 1:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya tano.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 1:23
6 Referans Kwoze  

Mungu akavibariki, akasema: “Muzae, muongezeke, mujaze maji ya bahari, nao ndege waongezeke katika inchi.”


Mungu akasema: “Inchi itoe aina zote za viumbe vyenye uzima: nyama wa kufugwa, viumbe vinavyotambaa na nyama wa pori wa kila aina.” Ikakuwa hivyo.


Mwangaza akauita “Muchana” na giza akaliita “Usiku”. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya kwanza.


Mungu akaliita anga “Mbingu”. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya pili.


Mungu akaona kwamba kila kitu alichofanya ni kizuri kabisa. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya sita.


Yesu akamujibu: “Kweli ninakuambia kwamba usiku huu, mbele jogoo hajawika mara mbili, utakuwa umenikana mara tatu.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite