Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 1:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya ine.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 1:19
6 Referans Kwoze  

ipate kutawala muchana na usiku, na kutenga mwangaza na giza. Mungu akaona kwamba ni vizuri.


Mungu akasema: “Maji yajae makundi ya viumbe vyenye uzima. Na ndege waruke katika anga.”


Mwangaza akauita “Muchana” na giza akaliita “Usiku”. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya kwanza.


Mungu akaliita anga “Mbingu”. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya pili.


Mungu akaona kwamba kila kitu alichofanya ni kizuri kabisa. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya sita.


Yesu akamujibu: “Kweli ninakuambia kwamba usiku huu, mbele jogoo hajawika mara mbili, utakuwa umenikana mara tatu.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite