Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 9:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Afazali kusikiliza maneno matulivu ya mwenye hekima, kuliko kusikiliza kelele za mufalme katika kikao cha wapumbafu.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 9:17
10 Referans Kwoze  

Anayemwonya mwenzake kwa mwisho atasifiwa naye, kuliko yule anayemubembeleza kwa maneno matamu.


Kwa maana mutu mwenye kasirani hawezi kutimiza mambo ya haki mbele ya Mungu.


Hatalalamika wala hatapiga kelele, wala hatasema kwa sauti kubwa katika barabara.


Yeye hataregea wala kuchoka, mpaka atakapoimarisha sheria yangu katika dunia. Watu wa mbali wanangojea mafundisho yake.


Afazali kusikia maonyo ya wenye hekima kuliko kusikiliza nyimbo za wapumbafu.


Maneno ya mwenye hekima yanamupa upendeleo; lakini maneno ya mupumbafu yanamwangamiza.


Kisha kusema maneno haya, akaaga mukutano.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite