Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 9:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Basi, mimi ninasema, hekima ni bora kuliko nguvu, ingawa hekima ya masikini inazarauliwa, na maneno yake hayasikilizwi.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 9:16
13 Referans Kwoze  

Hekima inamufanya mwenye hekima kuwa na nguvu zaidi kuliko watawala kumi katika muji.


Kuwa na hekima na maarifa ni bora kuliko kuwa na nguvu.


Mwenye hekima anaweza kuteka muji wa wenye nguvu na kukiporomosha kikingio wanachokitegemea.


Kuwa na hekima ni bora kuliko kutegemea silaha, lakini mwenye zambi mumoja anaharibu mazuri mengi.


Mali ya tajiri ndiyo kikingio chake. Umasikini wa masikini unamuletea maangamizi.


Nina uwezo wa kushauri na kuamua vizuri. Nina ufahamu na nina nguvu.


Kulindwa na hekima ni kama kulindwa na feza. Faida ya maarifa ni kwamba hekima inalinda maisha ya mutu anayekuwa nayo.


Nguvu nyingi zaidi zinahitajika kwa mutumiaji wa shoka lisilonolewa, lakini kutumia hekima kunamufanya mutu afanikiwe.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite