Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 8:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Kweli, kila kitu kina wakati wake na njia yake, ingawa mwanadamu anapatwa na tatizo kubwa.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 8:6
14 Referans Kwoze  

Kuna muda kwa kila kitu, na wakati kwa kila jambo katika dunia:


Basi, nikasema ndani ya moyo wangu: “Mungu atawahukumu watu wa haki hata vilevile na waovu, maana amepanga wakati kwa kila jambo na kwa kila kazi.”


Mungu amefanya kila kitu kikuwe kizuri kwa wakati wake. Ameweka ndani ya moyo wa mwanadamu mawazo juu ya muda usiokuwa na mwisho, lakini mutu hawezi kuelewa mwanzo na mwisho wa matendo ya Mungu.


“Mwenye nyumba atakapokwisha kusimama na kufunga mulango, ninyi mutabaki inje na kuanza kupiga hodi na kusema: ‘Bwana, utufungulie.’ Naye atawajibu: ‘Sijui munatokea wapi.’


Ewe kijana, furahia ujana wako, moyo wako ukuwe na raha wakati ungali kijana. Fuata mapenzi ya moyo wako na tamaa ya macho yako. Lakini kumbuka kwamba Mungu atakuhukumu kadiri ya hayo yote.


Hata hivyo mambo haya uliyaficha ndani ya moyo. Lakini ninajua kwamba ile ilikuwa nia yako.


wapate kuachana na matendo yao mabaya, na kuvunja kiburi chao.


Mungu anamwazibu mutu kwa maumivu yanayomuweka katika kitanda, maumivu yanashika viungo vyake bila kukoma;


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite