Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 8:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Mimi ninasema hivi: tii amri ya mufalme. Kwa sababu ya kiapo chako kitakatifu, usikate tamaa.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 8:2
10 Referans Kwoze  

Mbona basi, umevunja kiapo chako kwa Yawe na kutojali amri niliyokupa?”


Uwakumbushe watu wajinyenyekeze mbele ya watawala na wakubwa. Wanapaswa kuwatii na kuwa tayari kwa kufanya kila tendo zuri.


Mwana wangu, uwaheshimu Yawe na mufalme, wala usishirikiane na waasi,


Viongozi wote na mashujaa vilevile na wana wote wa mufalme Daudi, wakaahidi kuwa watiifu kwa mufalme Solomono.


Mufalme alimwacha Mefiboseti mwana wa Yonatani kwa sababu ya kiapo ambacho Daudi na Yonatani mwana wa Saulo walikuwa wamefanya kati yao kwa jina la Yawe.


Lakini kama aliibiwa kwake, anapaswa kumulipa mwenye naye.


Ingawa watu walipofika katika pori na kukuta asali ikidondoka kila nafasi, hakuna mutu aliyesubutu kula asali hiyo kwa kuogopa kile kiapo walichoapishwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite