Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 7:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Huzuni ni afazali kuliko kicheko, maana, kwa huzuni ya uso moyo unafurahishwa.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 7:3
21 Referans Kwoze  

Kwa maana taabu tunayopata ni ndogo na ya muda tu, inatutayarishia utukufu mukubwa sana na wa milele unaokuwa muzuri zaidi kupita mateso haya.


Ole kwenu ninyi munaoshiba sasa, maana mutasikia njaa. Ole kwenu ninyi munaocheka sasa, maana mutahuzunika na kulia.


Heri kwenu munaokuwa wenye njaa sasa, maana mutashibishwa. Heri kwenu munaolia sasa, maana mutacheka.


Akaniambia: Usiogope wewe unayependwa sana, uko salama. Ukuwe imara na hodari. Aliposema nami, nilipata nguvu, nikamwambia: Bwana, umekwisha kuniimarisha; sema kile ulichotaka kusema.


Nimefaidika kutokana na taabu yangu, maana imeniwezesha kujifunza masharti yako.


Mbele sijateswa nilikuwa nimepotea, lakini sasa ninashika neno lako.


Nikasema juu ya kicheko: “Ni wazimu”, na raha: “Iko na faida gani?”


Moyo wa mwenye hekima uko ndani ya nyumba ya kilio, lakini moyo wa mupumbafu unapenda raha.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite