Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 7:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 Nimetambua jambo hili moja: kwamba Mungu aliwaumba wanadamu wenye usawa, lakini wao wenyewe wamejitafutia matatizo.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 7:29
20 Referans Kwoze  

Yawe anasema: Watu wangu ni wapumbafu, hawanijui mimi. Wao ni watoto wajinga; hawana ufahamu. Wao wanaelewa vizuri kutenda maovu, lakini hawajui kutenda mema.


Kwa maana zamani sisi vilevile tulikuwa wajinga, waasi na wapotovu. Tulikuwa tumetawaliwa na kila namna ya tamaa mbaya na ya vitu mbalimbali vilivyotuvuta sana. Tuliishi katika uovu na wivu, tuliwachukiza watu nao walituchukia.


Hiki ndicho kitabu cha uzao wa Adamu. Wakati Mungu alipowaumba wanadamu, aliwaumba kwa mufano wake.


Hivyo wakajichafua kwa matendo yao, wakakosa uaminifu kwa Mungu kama wazini.


Waliichochea hasira ya Yawe kwa matendo yao, magonjwa makali yakatokea kati yao.


Ee Yawe, Mungu wetu, wewe uliwasikiliza; ulikuwa kwao Mungu mwenye kusamehe, ingawa uliwaazibu kwa makosa yao.


Nani anayekuwa kama mwenye hekima? Nani anayejua maana ya kila kitu? Hekima inaangarisha uso wa mutu, inaondoa alama za upumbafu.


Uliishi maisha makamilifu tangu siku ile ulipoumbwa, mpaka wakati ulipoanza kufanya uovu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite