Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 7:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Usifuate maneno yote wanadamu wanayosema, kusudi usisikie mutumishi wako akikutukana.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 7:21
7 Referans Kwoze  

Usimuchongee mutumwa kwa bwana wake, kusudi asikulaani, na kuonekana kwamba uko na kosa.


Watatoweka wale wanaopotosha maneno ya mutu katika tribinali, watu wanaowatega waamuzi na wanaosema uongo kwa kuwanyima haki yao wasiokuwa na kosa.


Lakini mufalme akamwambia: “Kuna maneno gani kati yangu na ninyi wana wa Zeruya? Ikiwa Yawe amemwambia: ‘Umulaani Daudi’, nani sasa anaweza kuuliza: ‘Kwa nini umefanya hivyo?’ ”


Basi, wakavuka kwenye kivuko kwa kuisindikiza jamaa ya mufalme na kumufanyia mufalme yote aliyoyapenda. Simei mwana wa Gera akakuja, akajitupa mbele ya mufalme, akainama uso mpaka chini, wakati mufalme alipokuwa karibu kuvuka muto Yordani.


Wewe mwenyewe unajua ndani ya moyo kwamba umetukana wengine mara nyingi.


Lakini watu wengine wasiofaa kitu, walisema: “Mutu huyu anaweza kutuokoa?” Walimuzarau Saulo na hawakumupa zawadi yoyote. Lakini yeye hakukasirika.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite