Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 6:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Zaidi ya hayo, mutoto wa namna hiyo hakupata kuuona mwangaza wa jua wala kutambua kitu chochote. Hata hivyo, yule mutoto anapumzika kuliko yule mutu.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 6:5
8 Referans Kwoze  

Watoweke kama maji yanavyopotelea ndani ya muchanga, kama majani wakanyagwe na kunyauka,


Mutu anazaliwa na mwanamuke, ana siku chache, na taabu nyingi.


Mutoto mufu anakuja kwa bure naye anarudi katika giza, na kusahaulika.


Ingawa mutu huyo ataishi miaka elfu mbili, lakini hafurahii maisha, basi yeye ni kama yule mutoto. Wote wawili wanakwenda fasi moja.


Mwangaza ni muzuri, na kuona jua kunapendeza macho.


Lakini heri zaidi kuliko wafu na wanaokuwa wazima, yule ambaye bado hajazaliwa na kuona maovu yote yanayotendeka hapa chini ya jua.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite