Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 5:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Ni afazali usifanye ahadi kuliko kufanya ahadi kisha usiitimize.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 5:4
20 Referans Kwoze  

Kisha Musa akazungumuza na viongozi wa makabila ya Israeli, akawaambia: Hili ndilo neno lililoamriwa na Yawe:


“Mumesikia vilevile kwamba babu zenu waliambiwa hivi: ‘Usifanye viapo vya uongo, lakini sherti utimize viapo vyako mbele ya Bwana.’


Kasirani ya watu inasababisha tu sifa yako; walioponyoka katika vita watafanya sikukuu zako.


Shukrani ikuwe ndiyo sadaka yako kwa Mungu. Umutimizie Mungu Mukubwa ahadi zako.


Nitamutimizia Yawe viapo vyangu, mbele ya watu wake wote.


Haukupendezwa na sadaka za kuteketezwa kwa moto wala sadaka za kusamehewa zambi.


Heri kungepatikana mutu mumoja kati yenu ambaye angefunga milango ya hekalu kusudi musiwashe moto usiokubaliwa kwenye mazabahu yangu! Sipendezwi nanyi na sitaikubali sadaka yoyote munayonitolea.


Watu wanaoabudu sanamu za miungu ya bure, wanautupilia mbali uaminifu wao kwako.


Nimeapa na kuhakikisha kiapo changu, kwamba nitashika maamuzi yako ya haki.


Kisha, tutakwenda Beteli kusudi nimujengee Mungu mazabahu, Mungu ambaye alinisaidia siku ya taabu na kuwa nami popote nilipokwenda.”


Siku moja, Mungu akamwambia Yakobo: “Anza safari, uende kuishi Beteli na kunijengea mazabahu kule, mimi Mungu niliyekutokea wakati ulipomukimbia kaka yako Esau.”


Yawe atajijulisha kwa Wamisri na hapo ndipo Wamisri watakapomwitikia na kumwabudu kwa kumutolea matoleo na sadaka za kuteketezwa. Vilevile watafanyia Yawe viapo ambavyo watavitimiza.


Kisha Yakobo akafanya kiapo akisema: “Ikiwa, ee Mungu, utakuwa pamoja nami na kunilinda katika safari yangu, ukinipa chakula na nguo


Yefuta alipomwona, akapasua nguo yake kwa huzuni na kusema: “Ee binti yangu! Umenivunja moyo. Wewe umekuwa chanzo kikubwa cha matatizo kwangu. Nimekwisha kumwapia Yawe nami siwezi kuvunja kiapo changu.”


Maana yeye hatupilii au kuzarau taabu ya muzaifu; wala hajifichi mbali naye, lakini anamusikiliza anapomwomba musaada.”


Ni hatari kusema kwa muzaha “Nitamutolea Mungu hiki!” na kuanza kufikiri nyuma ya kufanya naziri ile.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite