Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 5:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Ukimutolea Mungu ahadi, usikawie kuitimiza. Mungu hapendezwi na wapumbafu. Timiza kile ulichoahidi.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 5:3
5 Referans Kwoze  

Ulimi wa mwenye hekima unaeneza maarifa, lakini watu wapumbafu wanamwanga maneno ya ujinga.


Kwenye kuwa maneno mengi hakukosekani makosa, lakini aneyezuia ulimi wake ana akili.


Wingi huu wa maneno uachwe tu bila kujibiwa? Mutu wa maneno mengi anaonyesha kwamba hana kosa?


Uwaambie Waisraeli hivi: Mutu akifanya kiapo cha kumutolea Yawe mwanadamu, mutu huyu anaweza kuondoa kiapo chake kwa kulipa kipimo cha feza kinachokadiriwa kama hivi:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite