Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 5:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Na kwa kuwa Mungu amemuruhusu kuwa na furaha, mwanadamu hatakuwa na wasiwasi mwingi juu ya maisha yake mafupi.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 5:19
6 Referans Kwoze  

Mukumbuke kwamba Yawe, Mungu wenu, ndiye anayewapa uwezo wa kupata utajiri. Anafanya hivyo kwa kuimarisha agano alilofanya na babu zenu mpaka leo.


Kama mwanadamu anakula na kunywa na kufurahia matunda ya jasho yake, hayo ni majaliwa ya Mungu.


Mungu anamujalia mutu utajiri, mali na heshima, hata hakosewi kitu chochote anachotamani, lakini hamupi uwezo wa kuvifurahia vitu hivyo. Pahali pake, mugeni fulani atavifaidia. Hayo nayo ni bure. Ni jambo la mateso mabaya.


ninakupa hekima na maarifa. Vilevile, nitakupa utajiri, mali na heshima zaidi ya mufalme mwingine yeyote aliyekuwa mbele yako na mufalme mwingine yeyote atakayetawala nyuma yako.”


Vilevile, nitakupa yale ambayo haukuomba: nitakupa utajiri na heshima zaidi ya mufalme mwingine yeyote wa nyakati zako.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite