Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 5:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Aliishi maisha yake yote katika giza na huzuni, katika mahangaiko, magonjwa na hasira.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 5:16
13 Referans Kwoze  

Mwanadamu anafaidia nini kwa jasho lake lote hapa chini ya jua?


Anayevunja nyumba yake, atavuna upepo. Mupumbafu atakuwa mutumwa wa wenye hekima.


Musitumikie chakula kinachoharibika, lakini mutumikie chakula kinachodumu na kuleta uzima wa milele. Mwana wa Mutu atawapa ninyi chakula hiki, kwa sababu Mungu Baba ametoa uhakikisho juu yake.”


Ni faida gani kwa mutu kupata utajiri wote wa dunia, lakini anapoteza uzima wake?


Wanapanda upepo, watavuna zoruba! Mimea yao ya ngano inayokuwa katika mashamba haitatoa ngano yoyote. Na hata kama ikizaa, mazao yake yatakuliwa na wageni.


Nao makuhani hawakujiuliza hivi: Yuko wapi Yawe? Wafundi wa sheria hawakunijua, viongozi wa watu waliniasi; manabii nao walitabiri kwa jina la Bali na kuabudu sanamu zisizokuwa na faida yoyote.


Sisi tulipata maumivu ya kuzaa, lakini tukazaa tu upepo! Hatukupata ushindi wowote kwa ajili ya inchi yetu, hatukuweza kuongeza hesabu ya watu katika inchi.


Kwa bahati mbaya, mali hiyo iliharibiwa katika matumizi mabaya. Kwa mwisho, mutu yule hakukuwa na kitu chochote wakati alipokuwa na mwana.


Musiifuate miungu ya uongo isiyokuwa na faida wala haiwezi kuwaokoa, maana ni ya uongo.


mukubali kuongozwa na watu kama hawa na wale wote wanaotumika na bidii pamoja nao.


Kisha nikafikiri juu ya yote niliyokuwa nimefanya kwa mikono yangu, na jinsi nilivyotoa jasho kwa kuyafanya. Nikatambua kwamba yote ni bure sawa na kutaka kukamata upepo. Hakukukuwa faida yoyote chini ya jua.


Mufanya kazi anafaidia nini kutokana na jasho aliyotoa?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite