Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 5:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Hili nalo ni jambo baya sana. Atarudi kama vile alivyokuja. Amepata faida gani? Ametoa jasho kwa kukamata upepo.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 5:15
7 Referans Kwoze  

Usihangaike ukiona mutu anatajirika, wala mali yake ikiongezeka zaidi na zaidi.


akisema: Nilikuja uchi katika dunia, nitaondoka uchi katika dunia. Yawe amenipa, Yawe ametwaa. Jina la Yawe litukuzwe.


Kwa maana hatukuleta kitu katika dunia wala hatuwezi kurudia na kitu.


Lakini Mungu akamwambia: ‘Mupumbafu wewe! Leo leo usiku utakufa. Na sasa, vitu hivi vyote ulivyojitayarishia vitakuwa vya nani?’ ”


Kama vile mwanadamu alivyokuja katika dunia akiwa uchi toka katika tumbo la mama yake, ndivyo atakavyorudi uchi kule alikotoka. Hataweza kupeleka hata sehemu ndogo ya mapato ya kazi yake.


Mwenye hekima anajibu bila kufikiri na kujaa maneno ya burebure?


Watu wa Efuraimu wanachunga upepo, muchana kutwa wanafukuza upepo wa mashariki. Wanazidisha uongo na mateso, wanafanya mapatano na Asuria na kupeleka mafuta Misri.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite