5 Mupumbafu hafanyi kazi na mwisho anajiua na njaa.
Manase anashambulia Efuraimu, Efuraimu anashambulia Manase na wote wawili wanashambulia Yuda. Hata hivyo, hasira ya Yawe haijatulia, angali ananyoosha mukono wake kwa kuwaazibu.
Muvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta lakini hatapata kitu.
Muvivu anatamani lakini hapati kitu chochote, wakati mwenye bidii anajaliwa kwa wingi.
Niko tayari hata kuhatarisha maisha yangu.
Mwindaji muvivu hatapata anachowinda, lakini mwenye bidii atafanikiwa.
Mutu mwema anafaidika yeye mwenyewe, lakini mutu mukali anajiumiza mwenyewe.
Maneno ya mwenye hekima yanamupa upendeleo; lakini maneno ya mupumbafu yanamwangamiza.
Ewe muvivu, utalala pale mpaka wakati gani? Utaamuka wakati gani katika usingizi wako?