9 Mufanya kazi anafaidia nini kutokana na jasho aliyotoa?
Mwanadamu anafaidia nini kwa jasho lake lote hapa chini ya jua?
Aliishi maisha yake yote katika giza na huzuni, katika mahangaiko, magonjwa na hasira.
Bidii katika kila kazi inaleta faida, lakini maneno matupu yanaleta umasikini.
Ni faida gani kwa mutu kupata utajiri wote wa dunia, lakini anapoteza uzima wake? Hakuna kitu mutu anachoweza kutoa kwa kukomboa uzima wake.
Kisha nikafikiri juu ya yote niliyokuwa nimefanya kwa mikono yangu, na jinsi nilivyotoa jasho kwa kuyafanya. Nikatambua kwamba yote ni bure sawa na kutaka kukamata upepo. Hakukukuwa faida yoyote chini ya jua.
mukubali kuongozwa na watu kama hawa na wale wote wanaotumika na bidii pamoja nao.