Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 2:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Nilijifanyia bustani na mashamba ya miti, nikapanda miti ya matunda ya kila aina.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 2:5
10 Referans Kwoze  

Naye Zedekia, mufalme wa Yuda na waaskari wake wote walipowaona, walitoroka. Walitoka inje ya muji usiku, wakipitia katika bustani ya mufalme, kwenye mulango katikati ya kuta mbili, wakatelemukia kwenye bonde la muto Yordani.


Mupenzi wangu amekwenda katika bustani yake, pahali ambapo miti ya marasi inastawi. Yeye anakulisha kondoo wake na kukusanya mayungiyungi.


Dada yangu, muchumba wangu, ni bustani yangu ya pekee, chemichemi inayochungwa.


Vilevile ninakuomba kwamba barua ingine iandikwe kwa Asafu mulinzi wa pori la kifalme kusudi anipatie mbao za kutengeneza miimo ya milango ya munara wa hekalu, ukuta wa muji na nyumba yangu nitakamokaa.” Mufalme akakubali ombi langu kwa kuwa Mungu, kwa wema wake, alikuwa pamoja nami.


Machipukizi yako ni bustani ya mikomamanga pamoja na matunda bora kuliko yote, hina na nardo,


Vuma, ewe upepo wa kaskazini, kuja, ewe upepo wa kusini, muvume juu ya bustani yangu, mujaze anga kwa marasi, mupenzi wangu akuje katika bustani yake akule matunda yake bora kuliko yote.


Ninaingia katika bustani yangu, dada yangu, muchumba wangu. Ninakusanya manemane na majani yenye harufu, ninakula sega langu la asali, ninakunywa divai yangu na maziwa yangu. Mukule, enyi warafiki, mukunywe; mukunywe sana, wapendwa wangu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite