Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 2:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Basi, nikasema ndani ya moyo wangu: “Yatakayomupata mupumbafu yatanipata na mimi vilevile. Kwa nini, basi, nimekuwa na hekima zaidi?” Nikasema ndani ya moyo wangu: “Hayo nayo ni bure.”

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 2:15
9 Referans Kwoze  

Basi mutu mwenye hekima ana faida zaidi kuliko mupumbafu? Na mutu masikini anapata faida gani akijua namna ya kuishi?


Nimeyaona mambo yote yanayofanywa chini ya jua. Yote ni bure sawa na kutaka kukamata upepo!


Maana hakuna anayemukumbuka mwenye hekima, wala anayemukumbuka mupumbafu, maana katika siku zinazokuja wote watasahaulika. Maana mwenye hekima anakufa sawasawa na mupumbafu!


Maana katika kuwa na hekima nyingi kuna wasiwasi; na anayeongeza maarifa zaidi anaongeza huzuni zaidi.


Basi, nikafikiri nikisema: “Nimejipatia hekima nyingi zaidi kupita wote waliopata kutawala Yerusalema mbele yangu. Kweli, ninajua hekima na maarifa ni nini.”


Muhubiri anasema hivi: Bure, bure kabisa. Vyote ni bure!


basi, sasa ninakutimizia kama ulivyoomba. Ninakupa hekima na akili kwa kipimo ambacho hakuna mutu mwingine aliyepata kuwa nacho mbele yako, na wala hakutatokea mwingine kama wewe nyuma yako.


Maneno yanapokuwa mengi, ndivyo yanaendelea kuwa bure. Hayana faida.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite