Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 11:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Mwangaza ni muzuri, na kuona jua kunapendeza macho.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 11:7
10 Referans Kwoze  

Hekima ni ya bei kubwa kama urizi; ni ya mafaa kwa wale wote wanaokuwa wazima.


Mufanye vile kusudi mupate kuwa kweli watoto wa Baba yenu anayekuwa mbinguni. Kwa maana yeye anawaangazia waovu na wema jua lake, naye anawanyeshea mvua wenye haki na wasiokuwa wenye haki.


Uso wenye kuangaa unafurahisha moyo. Habari njema inarudishia mwili nguvu.


Siku moja tu ndani ya hekalu lako, ni bora kuliko siku elfu pahali pengine; afazali kubakia kwa mulango wa nyumba yako, kuliko kuishi ndani ya nyumba ya waovu.


Masikini na mugandamizaji wanafanana kwa kitu kimoja: wote wawili wamepewa macho na Yawe.


Anamwokoa mwanadamu asiangamie katika shimo, aweze kuona mwangaza wa maisha.


Zaidi ya hayo, mutoto wa namna hiyo hakupata kuuona mwangaza wa jua wala kutambua kitu chochote. Hata hivyo, yule mutoto anapumzika kuliko yule mutu.


Ee Mungu, nitatimiza ahadi zangu kwako; nitakutolea sadaka za shukrani,


Mungu aliniokoa nisiangamie katika shimo; nimebaki muzima na ninaona mwangaza.”


Kwa wakati huu wa nyuma, jua, mwangaza, mwezi na nyota hazionekani tena, mawingu yanarudia nyuma ya mvua,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite