7 Nimeona watumwa wanapanda juu ya farasi, na wakubwa wanatembea kwa miguu kama watumwa.
Haifai kwa mupumbafu kuishi kwa raha; tena ni vibaya zaidi mutumwa kuwatawala wakubwa.
inafaa watumishi wa mufalme walete nguo safi ya kitani mufalme aliyovaa na farasi wake mwenyewe,
mutumwa anayekuwa mufalme; mupumbafu anayeshiba chakula;
Mufalme akaondoka pamoja na watu wake wote. Lakini akasimama kidogo walipofikia nyumba ya mwisho katika muji.