6 wapumbafu wanapewa kazi za madaraka ya juu, na watajiri wanakamata nafasi za mwisho.
Watu wa haki wakipata madaraka, kuna utukufu mukubwa. Lakini waovu wakitawala, watu wanajificha.
Wenye haki wakiongozeka, watu wanafurahi. Lakini waovu wakitawala, watu wanalalamika.
Utulinde, ee Yawe, utukinge siku zote na kizazi hiki kiovu.
Nyuma ya mambo hayo, mufalme Ahasuero akamupandisha Hamani cheo, akakuwa waziri mukubwa. Hamani alikuwa mwana wa Hamedata wa uzao wa Agagi.
Waovu wakitawala, watu wanajificha. Lakini wakiangamia, wenye haki wanaongezeka.
Hamani akawaka hasira alipojua kwamba Mordekayi hainami wala kupiga magoti mbele yake.
Haifai kwa mupumbafu kuishi kwa raha; tena ni vibaya zaidi mutumwa kuwatawala wakubwa.
Kuna uovu niliotambua hapa chini ya jua, uovu unaosababishwa na watawala: