Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 10:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Mupumbafu anasema maneno mengi. Mwanadamu hajui yatakayokuwa, wala yale yatakayotukia nyuma yake.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 10:14
13 Referans Kwoze  

Ulimi wa mwenye hekima unaeneza maarifa, lakini watu wapumbafu wanamwanga maneno ya ujinga.


Hajui ni kitu gani kitakachotukia nyuma, maana ni nani anayeweza kumujulisha yatakayotukia nyuma?


Nani anayejua yanayofaa kwa mutu katika maisha haya mafupi yasiyokuwa na faida, maisha ambayo yanapita kama kivuli? Nani anayejua yale yatakayotukia chini ya jua nyuma ya kufa kwake?


Ukimutolea Mungu ahadi, usikawie kuitimiza. Mungu hapendezwi na wapumbafu. Timiza kile ulichoahidi.


Basi, nikatambua kwamba hakuna jambo linalokuwa bora zaidi kwa mwanadamu kufanya kuliko kufurahia kazi yake, kwa sababu amepangiwa hivyo. Nani anayeweza kumujulisha mwanadamu yale yatakayokuwa kisha kufa kwake?


Kwenye kuwa maneno mengi hakukosekani makosa, lakini aneyezuia ulimi wake ana akili.


Yobu anafungua kinywa kusema maneno matupu, anazidisha maneno bila akili.


Anaongeza uasi juu ya zambi zake; anaeneza mashaka kati yetu, na kuzidisha maneno yake juu ya Mungu.


Katika siku za kufanikiwa ukuwe na furaha. Katika siku za hasara ufikiri juu ya jambo hili: Mungu amefanya hiyo ya kwanza iambatane na ya pili kusudi mwanadamu asipate kujua mambo yatakayotukia nyuma yake.


Nilifikiri sana juu ya hayo yote, nikaona kwamba Mungu anaongoza matendo ya watu wenye hekima na wenye haki; ikiwa ni upendo au chuki, mwanadamu hajui. Kila kitu kwao ni bure,


Mupumbafu anachokeshwa kwa kutoa jasho, hata hajui njia ya kwenda katika muji.


Nimesikia jinsi unavyojivuna na kusema maneno mengi juu yangu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite