5 Jua linachomoza na kutua; linarudi haraka kwa pahali linapotokea.
Jua na mwezi vilikaa kimya katika makao yao, vilipoona mwangaza wa mishale yako ikienda mbio, vilipouona mukuki wako ukimetameta.
Kwa mukubwa wa waimbaji. Mashairi ya Wakora.
Kwa kadiri inchi itakavyodumu, wakati wa kupanda na kuvuna, wa baridi na joto, wa mvua na kipwa, usiku na muchana, havitakosa kuwa.”
Yawe anasema hivi: Kama munaweza kuvunja agano langu nililofanya na usiku na muchana kwa jinsi usiku na muchana visikuwe kwa wakati wake,
Hakutambua kwamba maisha yake yako katika hatari, mpaka alipojikuta amekuwa kama amechomwa mushale ndani ya moyo, amekuwa kama ndege aliyerukia ndani ya wavu.