Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 1:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Kizazi kimoja kinapita na kingine kinakuja, lakini dunia inadumu milele.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 1:4
17 Referans Kwoze  

Umeiweka dunia imara juu ya misingi yake, isitikisike hata milele.


Babu zenu, wako wapi? Na manabii, wanaishi milele?


Nani anayejua yanayofaa kwa mutu katika maisha haya mafupi yasiyokuwa na faida, maisha ambayo yanapita kama kivuli? Nani anayejua yale yatakayotukia chini ya jua nyuma ya kufa kwake?


Mbingu na dunia vitatoweka, lakini maneno yangu hayatabadilika hata kidogo.


Yakobo akamujibu: “Umri niliojaliwa kama musafiri ni miaka mia moja na makumi tatu. Miaka hiyo imekuwa michache na iliyojaa mateso, tena haijafikia hesabu ya miaka wazee wangu waliyoishi kama wasafiri.”


Wimbo wa safari za kidini. Wanaomutegemea Yawe, wako kama mulima Sayuni, ambao hautikisiki lakini unabaki imara siku zote.


Na kwa mwisho, yule mwanamuke akakufa vilevile.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite