Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 1:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Maana katika kuwa na hekima nyingi kuna wasiwasi; na anayeongeza maarifa zaidi anaongeza huzuni zaidi.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 1:18
7 Referans Kwoze  

Kisha Mungu akamwambia mwanadamu: Sikia! Kumwogopa Bwana ndiyo hekima, na kujitenga na uovu ndiyo maarifa.


Basi, usikuwe wa haki kupita kipimo, wala usikuwe mwenye hekima zaidi! Kwa nini kujiangamiza wewe mwenyewe?


Maisha yake yote yamejaa taabu, na jasho yake ni mahangaiko matupu. Hata usiku akili yake haipumziki! Hayo nayo ni bure.


Basi, nikasema ndani ya moyo wangu: “Yatakayomupata mupumbafu yatanipata na mimi vilevile. Kwa nini, basi, nimekuwa na hekima zaidi?” Nikasema ndani ya moyo wangu: “Hayo nayo ni bure.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite