12 Mimi Muhubiri, nilikuwa mufalme wa Israeli, kule Yerusalema.
Maneno haya ni ya Muhubiri mwana wa Daudi, aliyekuwa mufalme kule Yerusalema.
Ninakuambia mimi Muhubiri, haya ndiyo niliyotambua nilipofanya uchunguzi wangu kidogokidogo.
Muhubiri anasema hivi: Bure, bure kabisa. Vyote ni bure.