Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Muhubiri 1:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Maneno haya ni ya Muhubiri mwana wa Daudi, aliyekuwa mufalme kule Yerusalema.

Gade chapit la Kopi




Muhubiri 1:1
13 Referans Kwoze  

Mimi Muhubiri, nilikuwa mufalme wa Israeli, kule Yerusalema.


Ninakuambia mimi Muhubiri, haya ndiyo niliyotambua nilipofanya uchunguzi wangu kidogokidogo.


Mungu hakuhurumia dunia ya zamani, lakini alimulinda Noa, muhubiri wa haki, pamoja na watu wengine saba alipoleta mafuriko ya maji juu ya dunia ile ya waovu.


Roho wa Bwana wetu Yawe yuko pamoja nami, maana Yawe amenichagua, akanituma niwahubirie wanaoteswa habari njema, niwatunze waliovunjika moyo, niwatangazie waliohamishwa kwamba watapata uhuru, na wafungwa kwamba watafunguliwa.


Ninataka kutimiza mapenzi yako, ee Mungu wangu; sheria yako ninaishika kwa moyo wangu wote!”


Kwa kuhakikisha wazo lako, umejiwekea manabii katika Yerusalema kusudi watangaze kwamba kuna mufalme katika inchi ya Yuda. Maneno haya yataelezwa kwa mufalme Artasasta. Hivyo ninashauri kwamba wewe na mimi tukutane na kuzungumuzia jambo hili.


Solomono alitawala inchi yote ya Israeli kwa miaka makumi ine.


Simama, uende Ninawe, ule muji mukubwa, uwatangazie watu ujumbe ninaokupa.


Hizi ni mezali za Solomono mwana wa Daudi mufalme wa Israeli.


Jasho lake linastahili kulipwa. Shuguli zake zinapaswa kuheshimiwa popote.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite