Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mika 6:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Ninaweza kusema kwamba hawana kosa watu wanaotumia vipimo vya udanganyifu na mawe ya kupimia yasiyokuwa ya kweli?

Gade chapit la Kopi




Mika 6:11
9 Referans Kwoze  

Lakini ninyi mumurudilie Mungu wenu. Mushikamane na wema na haki, mumutumainie Mungu wenu siku zote.


Munapaswa kutumia mizani ya kweli na vipimo vinavyokuwa vya kweli. Mimi ni Yawe, Mungu wenu, niliyewatoa katika inchi ya Misri.


Mizani na vipimo vya kweli ni vya Yawe. Mawe yote ya kupimia katika mufuko ni kazi yake.


“Musikuwe na vipimo vya kupimia vya namna mbili: kimoja kizito na kingine chepesi. Musitumie mizani za udanganyifu.


Mizani danganyifu ni chukizo kwa Yawe, lakini matumizi ya vipimo vya haki ni furaha kwake.


Kila mutu anapaswa kutumia mizani na vipimo vya haki.


Munajisemesha ndani ya mioyo yenu: Sikukuu ya mwandamo wa mwezi itakwisha wakati gani kusudi tuanze tena kuuzisha vyakula vyetu? Siku ya Sabato itakwisha wakati gani kusudi tupate kuuzisha ngano yetu? Tutapunguza vipimo, tutapandisha bei, tutadanganya watu kwa mizani zisizokuwa sawa.


Yule malaika akaniambia: Mwanamuke yule ni mufano wa uovu! Kisha yule malaika akamusukumia ndani ya kikapu mwanamuke yule na kukifunika.


Mizani danganyifu na vipimo danganyifu, vyote ni chukizo kwa Yawe.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite